Itikadi Ya Kupindua Viatu Vinapopinduka Haina Dalili
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Baadhi ya watu wanasema kuwa kuweko viatu vilivyopinduka juu chini inamaanisha kwamba Malaika haingii katika nyumba hiyo au Allaah Hatoitazama nyumba hiyyo. Je, mnasemaje kuhusu jambo hili?
JIBU:
Tunasema: Hii hakuna dalili yake wala sijui kama kuna kuhusu kupinduka viatu. Lakini jambo hili limekuwa maarufu kwa watu huenda jambo likawa maarufu kwa watu lakini halina dalili.
(Nuwr Alaa Ad-Darb (13/65)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9598&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Itikadi%20Ya%20Kupindua%20Viatu%20Vinapopinduka%20Haina%20Dalili%20%20