Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Itikadi Ya Kupindua Viatu Vinapopinduka Haina Dalili

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Itikadi Ya Kupindua Viatu Vinapopinduka Haina Dalili

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

 

 

Itikadi Ya Kupindua Viatu Vinapopinduka Haina Dalili  

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

 

SWALI:

 

Baadhi ya watu wanasema kuwa kuweko viatu vilivyopinduka juu chini inamaanisha kwamba Malaika haingii katika nyumba hiyo au Allaah Hatoitazama nyumba hiyyo. Je, mnasemaje kuhusu jambo hili?

 

 

JIBU:

 

 

Tunasema:  Hii hakuna dalili yake wala sijui kama kuna kuhusu kupinduka viatu.  Lakini jambo hili limekuwa maarufu kwa watu huenda jambo likawa maarufu kwa watu lakini halina dalili.

 

(Nuwr Alaa Ad-Darb (13/65)]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9598

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9598&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Itikadi%20Ya%20Kupindua%20Viatu%20Vinapopinduka%20Haina%20Dalili%20%20