Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Rajab: Haikuthibiti Kuwa Tarehe 27 Rajab Ni Siku Ya Israa Wal-Mi’raaj

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Rajab: Haikuthibiti Kuwa Tarehe 27 Rajab Ni Siku Ya Israa Wal-Mi’raaj

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

Haikuthibiti Kuwa Tarehe 27 Rajab Ni Siku Ya Israa Wal-Mi’raaj

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

 

Shaykh Muhammad bin ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:  “Ama usiku wa ishirina na saba (27) katika Rajab, watu wanadai kuwa ni usiku wa Mi’raaj ambao Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alipaishwa mbinguni kwa Allaah ('Azza wa Jalla), lakini hii haikuthibiti katika taariykh (historia). Na kila kilichokuwa hakikuthibiti basi huwa ni batili.”  [Majmuw’ Fataawaa Shaykh Muhammad bin ‘Uthyamiyn]

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9626

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9626&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Rajab%3A%20Haikuthibiti%20Kuwa%20Tarehe%2027%20Rajab%20Ni%20Siku%20Ya%20Israa%20Wal-Mi%E2%80%99raaj