Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Taymiyyah: Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufuu Wa Akili Na Dini

Imaam Ibn Taymiyyah: Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufuu Wa Akili Na Dini

Imaam Ibn Taymiyyah [1]

 Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufu Katika Akili  Na Dini

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Amesema Shaykhul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah):   

 

Kutamka niyyah ni upungufu katika akili na  Dini. 

Ama katika Dini kwa sababu ni bid’ah, na katika akili ni kwa sababu ni sawa na ambaye anataka kula chakula husema: “Nanuia kuweka mkono wangu katika chombo hiki kwa kutaka nichote humo tonge la chakula niweke mdomoni mwangu kisha nimeze ili nishibe.”

Basi huu ni ujinga na upumbavu.

 

 

[Al-Fataawaa Al-Kubraa (2/213)]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9913

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/204
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9913&title=Imaam%20Ibn%20Taymiyyah%3A%20Kutamka%20Niyyah%20Katika%20%E2%80%98Ibaadah%20Ni%20Upungufuu%20Wa%20Akili%20Na%20Dini