Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Fataawaa: Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas > 15-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Akipata Damu Siku Moja Lakini Ya Pili Yake Hakuona Damu Afanyeje?

15-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Akipata Damu Siku Moja Lakini Ya Pili Yake Hakuona Damu Afanyeje?

 

15-Akipata Damu Siku Moja Lakini Ya Pili Yake Hakuona Damu Afanyeje? 

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com [1]

 

SWALI:

 

 

Pindi mwanamke akiona katika kipindi cha ada yake siku moja damu na siku nzima inayofuata haoni afanye nini?

 

 

JIBU:

 

Huu utohara au ukavu aliouona katika nyakati za hedhi yake haihesabiki kuwa ni utohara. Hapa yampata ajizuie kama anavyojizuia mwenye hedhi. Baadhi ya ‘Ulamaa wameserna: “Atakayeona damu na siku nyingine hakuna  basi damu hiyo ni damu ya hedhi.”

 

 

Na huo usafi au utohara hadi ufikie siku kumi na tano  na ikifika muda huo basi damu hiyo itakuwa ni Istihaadhwah na hili ndilo jambo mashuhuri kwa muono wa madhehebu ya Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu-Allaah).

 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/10084

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10084&title=15-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Akipata%20Damu%20Siku%20Moja%20Lakini%20Ya%20Pili%20Yake%20Hakuona%20Damu%20Afanyeje%3F