Kukopa kwa Ajili ya Udhwhiya Inafaa?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Fakiri ambaye hana chochote mkononi pindi 'Iydul-Adhw-haa inapofika lakini ni mwenye kutarajia kupokea mshahara wake wa mwezi basi na akope achinje kisha alipe?
JIBU:
Kama hatoweza kulipa kwa muda wa karibu basi haifai kwake kukopa ili achinje kwani hili litamfanya ashughulike na kulipa deni.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/110)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10106&title=07-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Kukopa%20kwa%20Ajili%20ya%20Udhwhiya%20Inafaa%3F