Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Fataawaa: Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas > 25-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Damu Inaendelea Na Inakatika Siku Moja Au Mbili Kisha Inarudi

25-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Damu Inaendelea Na Inakatika Siku Moja Au Mbili Kisha Inarudi

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

25-Damu Inaendelea Na Inakatika Siku Moja Au Mbili Kisha Inarudi   

 

Alhidaaya.com [1]

 

 

 

SWALI:

 

 

Baadhi ya wanawake damu inaendelea na wakati mwingine inakatika siku moja au mbili kisha inarudi. Nini hukumu ya hali hii kwa Swalaah na Swiyaam na ‘Ibaadah zingine?

 

 

JIBU:

 

 

Kinachojulikana kwa ‘Ulamaa ni kuwa mwanamke akiwa kwenye ada yake kisha ikakatika anakoga na kuswali na kufunga na anachokiona baada ya siku mbili au tatu sio hedhi, kwa sababu tohara chache kwa ‘Ulamaa hao  ni siku kumi na tatu.

 

Wamesema baadhi ya ‘Ulamaa kuwa “Muda wowote akiona damu basi ni hedhi na muda akitoharika kwayo basi ni tohara na hata kama sio kati ya hedhi mbili siku kumi na tatu.”

 

 

 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/10120

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10120&title=25-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Damu%20Inaendelea%20Na%20Inakatika%20Siku%20Moja%20Au%20Mbili%20Kisha%20Inarudi%20%20%20