Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب تكثير الأيدي عَلَى الطعام
11-Mlango Wa Kuongezeka Mikono Katika Chakula
Alhidaaya.com [1]
Hadiyth – 1
عن أَبي هريرة رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( طَعَامُ الاثنينِ كافِي الثلاثةِ ، وطَعَامُ الثَّلاَثَةِ كافي الأربعة )) متفق عَلَيْهِ .
Imepokewa kutoka kwa Abuu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Chakula cha wawili kinawatosha watatu, na cha watatu kinawatosha wanne." [Al-Bukhaariy, Muslim, Maalik na At-Tirmidhiy]
Hadiyth – 2
وعن جابر رضي الله عنه ، قَالَ : سَمِعْتُ رسول الله صلى الله عليه وسلم ، يقول : (( طَعَامُ الوَاحِدِ يَكْفِي الاثْنَيْنِ ، وَطَعَامُ الاثْنَيْنِ يَكْفِي الأَرْبَعَةَ ، وَطَعَامُ الأرْبَعَةِ يَكْفِي الثَّمَانِيَةَ )) رواه مسلم .
Amesema Jaabir (Radhwiya Allaahu 'anhu): Nimemsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: "Chakula cha mmoja kinawatosha wawili, na cha wa wawili kinawatosha wanne, na cha wanne kinawatosha wanane." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10974&title=11-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kuongezeka%20Mikono%20Katika%20Chakula