Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > 06-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Kitabu Cha Kumzuru Mgonjwa, Jeneza... - كتاب عيادة المريض وتشييع الميت والصلاة عليه وحضور دفنه > 11-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kuhifadhi Aibu Zinazoonekana kwa Maiti

11-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kuhifadhi Aibu Zinazoonekana kwa Maiti

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

باب الكف عن مَا يرى من الميت من مكروه

11-Mlango Wa Kuhifadhi Aibu Zinazoonekana kwa Maiti

 

Alhidaaya.com [1]

 

 

وعن أَبي رافع أسلم مولى رسول الله صلى الله عليه وسلم : أنَّ رسول الله صلى الله عليه وسلم ، قَالَ : (( مَنْ غَسَّلَ مَيتاً فَكَتَمَ عَلَيْهِ ، غَفَرَ اللهُ لَهُ أربَعِينَ مَرَّة )) رواه الحاكم ، وقال : صحيح عَلَى شرط مسلم .

Imepokewa kutoka kwa Abu Raafi' Aslam (Radhwiya Allaahu 'anhu) mwacha huru wa Rasuli wa Allaah (Swalla Alllahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Mwenye kumuosha maiti na akaficha siri yake, Allaah humsamehe mara arubaini." [Al-Haakim, na akasema ni Swahiyh kulingana na sharti iliyowekwa na Muslim].

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/11059

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11059&title=11-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kuhifadhi%20Aibu%20Zinazoonekana%20kwa%20Maiti