Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب استحباب الدعاء في السفر
07-Mlango Wa Kusuniwa Duaa Katika Safari
Alhidaaya.com [1]
وعن أَبي هريرة رضي اللهُ عنه ، قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( ثلاثُ دَعَوَاتٍ مُسْتَجَابَات لاَ شَكَّ فِيهِنَّ : دَعْوَةُ المَظْلُومِ ، وَدَعْوَةُ المُسَافِرِ ، وَدَعْوَةُ الوَالِدِ عَلَى وَلَدِهِ )) رواه أَبُو داود والترمذي ، وقال : (( حديث حسن )) . وليس في رواية أَبي داود : (( عَلَى وَلَدِهِ )) .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Maombi matatu ni yenye kujibiwa hapana shaka yoyote. Maombi ya mwenye kudhulimiwa na maombi ya msafiri na maombi ya mzazi juu ya mtoto wake." [Abu Daawuw na At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan na hakina katika riwaayah ya Abuu Daawuwd: "Juu ya mtoto wake."]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11081&title=07-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kusuniwa%20Duaa%20Katika%20Safari