Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Adabu Za Ndoa Katika Sunnah Iliyotakasika (آداب الزفاف في السنة المطهرة) > 06-Adabu Za Ndoa Katika Sunnah Iliyotakasika: (Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

06-Adabu Za Ndoa Katika Sunnah Iliyotakasika: (Du'aa) Ya Kusema Wakati Wa Kumuingilia Mkeo

 

 

Mume anapotaka kumuingilia mkewe, inampasa daima aseme:

بِسْمِ الله اللّهُـمَّ جَنِّبْنا الشَّيْـطانَ، وَجَنِّبِ الشَّـيْطانَ ما رَزَقْـتَنا

Bismillahi, Allaahuuma Jannibnaa-sh-Shaytwaan, Wa Jannibish-Shaytwaana Maa Razaqtanaa

 

Kwa jina la Allaah, Ee Allaah Tuepushe na Shaytwaan, na Muepushe shaytwaan na Ulichoturuzuku (yaani kizazi).

 
Mtume صلى الله عليه وآله وسلم amesema kuhusu hili:

 

((فإن قضى الله بينما ولداً؛ لم يضره الشيطان أبداً))  

 

((Baada ya hapo Allaah سبحانه وتعالى Akijaalia, watapata mtoto ambaye Shaytwaan hatoweza kumdhuru abadan))[1]

 

 

[1] [1] Al-Bukhaariy

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/1579

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/modules/fckeditor/fckeditor/editor/fckeditor.html?InstanceName=edit-body&Toolbar=Default#_ftnref1
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1579&title=06-Adabu%20Za%20Ndoa%20Katika%20Sunnah%20Iliyotakasika%3A%20%28Du%27aa%29%20Ya%20Kusema%20Wakati%20Wa%20Kumuingilia%20Mkeo%20