Vile vile inaruhusiwa kufanya Tayammum mara nyingine badala ya wudhuu kabla ya kulala. Hii ni kutokana na Hadiyth ya Bibi ‘Aaishah رضي الله عنها ambaye amesema:
كانَ رسولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلّم إذا أجنبَ فأرادَ أنْ ينامَ توضأَ
"Mtume alipokuwa katika hali ya janaba na kila alipotaka kwenda kulala alikuwa akichukua wudhuu au akitayammum".[1]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/modules/fckeditor/fckeditor/editor/fckeditor.html?InstanceName=edit-body&Toolbar=Default#_ftnref1
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1587&title=14-Adabu%20Za%20Ndoa%20Katika%20Sunnah%20Iliyotakasika%3A%20Kutayamamu%20Badala%20Ya%20Wudhuu%20Katika%20Hali%20Ya%20Janaba