Kuwakilisha Katika Kulipa Zakaatul-Fitwr
SWALI:
Baadhi ya miskiti wanaashiria kupokea kiwango cha Zakaatul-Fitwr kutoka kwa watu ili wagawe kwa wanaohitaji kwa ajili yao. Hugawa chakula kama mchele, unga n.k. Je, desturi hii ni sawa?
JIBU:
AlhamduliLLaah
Kwa vile imekusudiwa kununua na kugawa bidhaa kwa wanaohitaji (hizo bidhaa) kwa ajili yao, hivya ni sawa na watapa thawabu In Shaa Allaah.
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1925&title=05-Fatwa%3A%20Kuwakilisha%20Katika%20Kulipa%20Zakaatul-Fitwr%20%20