Zakaatul-Fitwr Kwa Ajili Ya Mtoto Aliye Tumboni
Al-Lajnah Ad-Daaimah
SWALI:
Zakaatul-Fitwr ilipwe kwa ajili ya mtoto aliye bado tumboni mwa mama?
JIBU:
Inapendekezeka kulipa kwa sababu 'Uthmaan (Radhiya Allaahu 'anhu) alifanya. Lakini sio fardhi bali ni jambo linalopendezeka tu.
Wa biLLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyina Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.
[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1936&title=15-Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Zakaatul-Fitwr%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Mtoto%20Aliye%20Tumboni