Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Za Zakaatul-Fitwr > 26-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Hukmu Ya Kukanusha Zakaatul-Fitwr

26-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Hukmu Ya Kukanusha Zakaatul-Fitwr

 

Hukmu Ya Kukanusha Zakaatul-Fitwr

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kukanusha Zakaatul-Fitwr na vipi ahukumiwe mwenye kuikanusha?

 

JIBU:

 

Kuikanusha hairuhusiwi (haraam) kwa sababu itakuwa ni kupinga aliyoamrisha Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kama ilivyokwishatajwa katika Hadiyth ya 'Ibn 'Umar ambaye amesema: "Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alifaridhisha Zakaatul-Fitw…" Na inajulikana kwamba kuacha kutenda kilichofaridhishwa hairuhusiwi (ni haraam) na (kufanya hivyo) ni dhambi na kuasi (amri)

 

[Imaam Ibn ‘Uthaymiyn Fataawaa Ramadhwaan – Mjalada 2, Uk. 902, Fatwa Namba 887- Fiqhul-'Ibaadaati libni 'Uthaymiyn – Uk. 213]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/1959

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1959&title=26-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Hukmu%20Ya%20Kukanusha%20Zakaatul-Fitwr%20