Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Kutoa Zakaah (Zakaatul-Maal) > 012-Kutoa Zakaah: Mwenye Deni

012-Kutoa Zakaah: Mwenye Deni

 

Kutoa Zakaah: Mwenye Deni

 

Alhidaaya.com [1]

 

Mwenye kumiliki kiwango kinachomwajibisha kutoka Zakaah, na wakati huo huo anadaiwa, kwanza anatoa kiasi cha deni analodaiwa, kisha anailipia Zakaah mali iliyobaki ikiwa bado inafikia kiwango cha kutolewa Zakaah. Ama ikiwa mali iliyobaki haifikii kiwango, basi hatoi Zakaah, kwa sababu wakati huo anahesabiwa kuwa ni mtu fakiri, na Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) anasema:

 

"Hatoi Swadaqah (Zakaah) isipokuwa mtu tajiri". [Ahmad]

 

Na amesema:

 

"Ichukuliwa (mali ya Zakaah) kutoka kwa matajiri wao na kurudishiwa mafakiri wao".

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/4620

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4620&title=012-Kutoa%20Zakaah%3A%20Mwenye%20Deni