Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Kutoa Zakaah (Zakaatul-Maal) > 014-Kutoa Zakaah: Niyah

014-Kutoa Zakaah: Niyah

 

Kutoa Zakaah: Niyah

 

Alhidaaya.com [1]

 

 

Zakaah ni ‘Ibaadah, na kwa ajili hiyo kutia Niyyah ni jambo muhimu kama ilivyo katika ‘Ibaadah yoyote ile. Na Niyah ni kitu cha moyoni na hakina uhusiano na ulimi, na kusudi lake ni kuwa mtu anapotoa Zakaah akusudie kuitoa kwa ajili ya Allaah.

 

Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

 

"Hakika ya amali yoyote ni kutokana na Niyyah, na mtu hulipwa kutokana na Niyyah yake".

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/4622

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4622&title=014-Kutoa%20Zakaah%3A%20Niyah