Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 08-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini maana ya Tawhiyd katika Sifa za Allaah?

08-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini maana ya Tawhiyd katika Sifa za Allaah?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

08-Nini maana ya Tawhiyd katika Sifa za Allaah?

 

Tawhiyd katika Sifa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) ni kuthibitisha vile vile Alivyojiwekea Sifa Mwenyewe Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) au Rasuli Wake.

لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ﴿١١﴾

Hakuna chochote kinachofanana Naye, Naye Ndiye Mwenye kusikia yote, Mwenye kuona yote. [Ash-Shuwraa: 11]

 

((ينزِلُ ربُّنا تبارك وتعالى فِي كلّ ليلةٍ إِلَى السّمَاء الدُّنْيَا)) متّفق عليه

نزولاً يليق بجلاله

((Rabb wetu Huteremka kila usiku katika mbingu ya dunia)) [Al-Bukhaariy, Muslim]

 

Kuteremka kunakolaikiana na Ujalali Wake.

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7764

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7764&title=08-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nini%20maana%20ya%20Tawhiyd%20katika%20Sifa%20za%20Allaah%3F