Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 25-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kutufu makaburi?

25-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kutufu makaburi?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

25-Je, Inajuzu kutufu makaburi?

 

Hapana! Haijuzukutufu (kuzunguka) makaburi, bali kutufu ni kwa ajili ya Ka'abah pekee.

 

 وَلْيَطَّوَّفُوا بِالْبَيْتِ الْعَتِيقِ ﴿٢٩﴾

Na watufu kwenye Nyumba ya Kale. (Al-Ka’bah) [Al-Hajj: 29]

 

((مَنْ طافَ بِالْبَيْتِ سَبْعاً وَصَلّى رَكَعَتينِ كَانَ كَعتق رَقَبة))  رواه ابن ماجه و صححه الألباني 

((Atakayezunguka Ka'bah mara saba kisha akaswali rakaa mbili ni kama mfano kamwacha huru mtumwa mmoja)) [Ibn Maajah na ameisahihisha Al-Albaniy katika Swahiyh Al-Jaami’ (6379)]

 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7784

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7784&title=25-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Inajuzu%20kutufu%20makaburi%3F