Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 27-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini hukumu ya mwenye kufanya sihri (uchawi)?

27-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini hukumu ya mwenye kufanya sihri (uchawi)?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

27-Nini hukumu ya mwenye kufanya sihri (uchawi)?

 

Mwenye kufanya sihri ni kukufuru.

 

وَلَـٰكِنَّ الشَّيَاطِينَ كَفَرُوا يُعَلِّمُونَ النَّاسَ السِّحْرَ

lakini mashaytwaan ndio waliokufuru; wanafundisha watu sihiri [Al-Baqaarah: 102]

 

((اجْتَنِبُوا السَّبْعَ الْمُوبِقَاتِ:الشِّرْكُ بِاللَّهِ وَالسِّحْرُ))  متّفق عليه

 ((Jiepusheni na mambo saba yanayoangamiza; kumshirikisha Allaah, sihri (uchawi)) [Al-Bukhaariy, Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7786

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7786&title=27-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nini%20hukumu%20ya%20mwenye%20kufanya%20sihri%20%28uchawi%29%3F