Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 34-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?

34-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

34-Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?

 

Hapana! Haijuzuu kuapa kiapo kisicho cha Allaah.

قُلْ بَلَىٰ وَرَبِّي لَتُبْعَثُنَّ

Bali hapana! Naapa kwa Rabb wangu, bila shaka mtafufuliwa [At-Taghaabun: 7]

 

((مَنْ حَلَفَ  بِغَيْرِ اللَّهِ فَقَدْ كَفَرَ أَوْ أَشْرَكَ))  رواه الترمذي   وأبو داود  وصححه الألباني في صحيح الترمذي .

 ((Atakayeapa pasi na Allaah, atakuwa amekufuru au amemshirikisha Allaah])) [At-Tirmidhiy, Abu Daawuwd na ameipa daraja ya Swahiyh Al-Albaaniy katika Swahiyh At-Tirmidhiy]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7794

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7794&title=34-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Inajuzu%20kuapa%20kwa%20mwengine%20asiye%20Allaah%3F