Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 45-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Vipi kuwafanyia urafiki Waumini?

45-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Vipi kuwafanyia urafiki Waumini?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

 

45-Vipi kuwafanyia urafiki Waumini?

 

Kuwafanyia urafiki Waumini ni kuwaandama kwa mapenzi na kuwanusuru Waumini walioshikamana na Tawhiyd.

وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ

71. Na Waumini wanaume na Waumini wanawake ni marafiki wandani wao kwa wao, [At-Twabah: 71]

 

 

((الْمُؤْمِنُ لِلْمُؤْمِنِ كَالْبُنْيَانِ يَشُدُّ بَعْضُهُ بَعْضًا)) متفق عليه.

((Muumini kwa Muumini mwenzake ni kama mfano wa jengo (matofali) hushikamana pamoja. [Al-Bukhaariy, Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7805

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7805&title=45-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Vipi%20kuwafanyia%20urafiki%20Waumini%3F