Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 53-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Ipo bid'ah inayoitwa bid-‘atun-hasanah’ katika Dini?

53-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Ipo bid'ah inayoitwa bid-‘atun-hasanah’ katika Dini?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

 

53-Je, Ipo bid'ah inayoitwa bid-‘atun-hasanah’ katika Dini?

 

Hapana! Hakuna bid’atun-hasanah (uzushi mzuri) katika Dini.

 

 

الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislaam uwe Dini yenu. [Al-Maaidah: 3]

 

 

((إِيَّاكُمْ وَمُحْدَثَاتِ الْأُمُورِ، فَإِنَّ كُلَّ مُحْدَثَةٍ بِدْعَةٌ، وَكُلَّ بِدْعَةٍ ضَلَالَةٌ)) صحيح رواه أبو داود

((Jitahadharini na uzushi wa mambo, kwani kila uzushi ni bid'ah na kila bid'ah ni upotofu)) [Swahiyh - Abuu Daawuwd]

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7813

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7813&title=53-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Ipo%20bid%27ah%20inayoitwa%20bid-%E2%80%98atun-hasanah%E2%80%99%20katika%20Dini%3F