Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Mukhtasari Wa 'Aqiydah Ya Muislamu: Maswali Na Majibu > 54-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Ipo Sunnatun-hasanah katika Uislamu?

54-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Ipo Sunnatun-hasanah katika Uislamu?

 

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]

 

 

 

 

54-Je, Ipo Sunnatun-hasanah katika Uislamu?

 

Naam, ipo Sunnatun-hasanah (Sunnah nzuri) katika Uislamuu kama vile anayeanza kufanya kitendo chema cha kheri akafuatwa.

 

 وَاجْعَلْنَا لِلْمُتَّقِينَ إِمَامًا ﴿٧٤﴾

Na Tujaalie kuwa waongozi kwa wenye taqwa.  [Al-Furqaan: 74]

 

((مَنْ سَنَّ فِي الإِسْلامِ سُنَّةً حَسَنَةً فَلَهُ أَجْرُهَا وَأَجْرُ مَنْ عَمِلَ بِهَا مِنْ بَعْدِه )) مسلم

"Atakayeanzisha mwenendo mwema " سُنَّةً حَسَنَةً katika Uislamu atapata ujira wake na ujira wa atakayetenda wema huo." [Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7814

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7814&title=54-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Ipo%20Sunnatun-hasanah%20katika%20Uislamu%3F