Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Suhuwr (Daku) Na Kufuturu > 02-Imaam Ibn ‘Uthyamiyn: Kufuturu Tende Kwa Idadi Ya Witr

02-Imaam Ibn ‘Uthyamiyn: Kufuturu Tende Kwa Idadi Ya Witr

Kufuturu Tende Kwa Idadi Ya Witr

 

Imaam Ibn ‘Uthyamiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

SWALI:

 

Nimesikia kwammba mwenye swawm anawajibika pale anapofuturu tende, iwe ni idadi ya witr yaani iwe tano au saba  na kadhaalika Je ni waajib?

 

JIBU:

 

Si waajib, bali hata sio Sunnah mtu afuturu kwa witr; tatu au tano au saba au tisa isipokuwa Siku ya ‘Iyd kwani imethibiti kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa hatoki kwenda Swalaah Siku ya ‘Iydul-Fitwr mpaka ale kwanza tamar (tende) na alikuwa akila kwa witr. 

Ama nje ya hayo Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) hakukusudia kula tende kwa witr.

 [Fataawa Nuwr ‘Alad-Darb 11/2]

 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8404

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8404&title=02-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthyamiyn%3A%20Kufuturu%20Tende%20Kwa%20Idadi%20Ya%20Witr