Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Maasi Katika Ramadhwaan > 01-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Israfu Ya Chakula Wakati Wa Futari

01-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Israfu Ya Chakula Wakati Wa Futari

Israfu Ya Chakula Wakati Wa Futari

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

 

www.alhidaaya.com [1]

 

  

SWALI:

 

Je, mtu hupata thawabu ndogo (ya Swawm) ikiwa atakithirisha kukata Swawm (Futari) kwa masahani ya vyakula mbali mbali?

 

JIBU:

 

Hapana, hupati thawabu ndogo ya Swawm. Mtu kufanya kitendo cha haraam baada ya kumaliza Swawm, (kitendo kile) hakiathiri thawabu (za Swawm). Bali inaingia katika neno Lake Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala):

وَكُلُوا وَاشْرَبُوا وَلَا تُسْرِفُوا ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ ﴿٣١﴾

“Na kuleni na kunyweni; na wala msifanye israfu. Hakika Yeye (Allaah) Hapendi wanaofanya israfu. [Al-A’raaf 7: 31]

 

Huku kufanya israfu ndiyo haraam. Na iktisadi ni nusu ya maisha.  Ikiwa bila kukusudia kutabaki chakula, ni afadhali kitolewe swadaqah.

 

 

[Fiqhu Al-'Ibaadah, uk. 252]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8408

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8408&title=01-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Israfu%20Ya%20Chakula%20Wakati%20Wa%20Futari