Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Qiyaam Al-Layl: Tarawiyh Tahajjud Witr > 03-Imaam Al-Albaaniy: Imaam Kutoa Mawaidha Baina Ya Swalaah Za Taraawiyh

03-Imaam Al-Albaaniy: Imaam Kutoa Mawaidha Baina Ya Swalaah Za Taraawiyh

Imaam Kutoa Mawaidha Baina Ya Swalaah Za Taraawiyh

 

Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

SWALI:

 

Je, inajuzu kwa Imaam wa Masjid ambaye anaswalisha watu katika Tarawiyh kuwakumbusha watu wakati wa mapumziko na kuzungumzia juu ya Swalaah na juu ya kumfuata Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na kuwaonya baadhi ya watu wa bid’ah na washirkina?

 

 

JIBU:

 

Yote ni sawa.

 

Ikiwa kama ni tukio limetokea, ni waajib kufanya hivyo.

Ikiwa ni ada (Imaam) kuonya watu kila baada Raka’ah na mfano wake, hii ni kinyume na Manhaj ya Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).

 

 

[Silsilatul-Hudaa Wan-Nuwr (656)]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8426

Links
[1] http://​www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8426&title=03-Imaam%20Al-Albaaniy%3A%20Imaam%20Kutoa%20Mawaidha%20Baina%20Ya%20Swalaah%20Za%20Taraawiyh