Anayeacha Swiyaam Ramadhwaan Juu Ya Kuwa Hapingi Kuwajibika Kwake
Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah)
SWALI:
Mwenye kuacha Swiyaam ya Ramadhwaan lakini hapingi kuwajibika kwake je anakufuru kwa hilo?
JIBU:
Ndio. Vipi ataacha Swiyaam na wakati huo hapingi? Vipi ataacha Swawm ya Ramadhwaan naye hana udhuru unaomruhusu ki-Shariy’ah ikiwa kweli hapingi? Ameacha kwa kuwa anaona si waajib:
[Fataawa Ramadhwaan Shaykh Fawzaan]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8499&title=07-Shaykh%20Swaalih%20Al-Fawzaan%3A%20Anayeacha%20Swiyaam%20Ramadhwaan%20Juu%20Ya%20Kuwa%20Hapingi%20Kuwajibika%20Kwake