Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Maasi Katika Ramadhwaan > 07-Shaykh Swaalih Al-Fawzaan: Anayeacha Swiyaam Ramadhwaan Juu Ya Kuwa Hapingi Kuwajibika Kwake

07-Shaykh Swaalih Al-Fawzaan: Anayeacha Swiyaam Ramadhwaan Juu Ya Kuwa Hapingi Kuwajibika Kwake

 

Anayeacha Swiyaam Ramadhwaan Juu Ya Kuwa Hapingi Kuwajibika Kwake

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah)

www.alhidaaya.com [1]

 

 

SWALI:

 

Mwenye kuacha Swiyaam ya Ramadhwaan lakini hapingi kuwajibika kwake je  anakufuru kwa hilo? 

 

JIBU:

 

Ndio. Vipi ataacha Swiyaam na wakati huo  hapingi? Vipi ataacha Swawm ya Ramadhwaan naye hana udhuru unaomruhusu ki-Shariy’ah ikiwa kweli hapingi?  Ameacha kwa kuwa anaona si waajib:

 

[Fataawa Ramadhwaan Shaykh Fawzaan] 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8499

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8499&title=07-Shaykh%20Swaalih%20Al-Fawzaan%3A%20Anayeacha%20Swiyaam%20Ramadhwaan%20Juu%20Ya%20Kuwa%20Hapingi%20Kuwajibika%20Kwake