Je, I’tikaaf Inajuzu Katika Masjid Al-Haraam (Makkah) Kwa Ajili Ya Wanawake Na Wanaume?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
10-Je, I’tikaaf Inajuzu Katika Masjid Al-Haraam (Makkah) Kwa Ajili Ya Wanawake Na Wanaume?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
Hakuna makatazo kutekelezwa I’tikaaf katika Masjid Al-Haraam na Masjid An-Nabawiy Ash-Shariyf, ikiwa ni wanaume au wanawake na ikiwa haiwaletei madhara wanaoswali wala haimuudhi yeyote basi hakuna ubaya hivyo.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/440)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8582&title=10-Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Je%2C%20I%E2%80%99tikaaf%20Inajuzu%20Katika%20Masjid%20Al-Haraam%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Wanawake%20Na%20Wanaume%3F