Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: 'Itikaaf (Kubakia Msikitini Kufanya 'Ibaadah) > 24-Al-Lajnah Ad-Daaimah: Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

24-Al-Lajnah Ad-Daaimah: Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

 

 

 Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

 

24. Je, Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

 

Sunnah ni kwamba asitembelee mgonjwa wakati akiwa katika I’tikaaf, wala haiwajibiki da’wah wala kuwakidhia haja ahli zake wala kuhudhuruia janaazah, wala asitoke nje ya Msikiti kwa ajili ya kwenda kazini kwake.

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (10/410)]

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8596

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8596&title=24-Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Inajuzu%20Kwa%20Mu%E2%80%99takif%20Amtembelee%20Mgonjwa%3F%20Au%20Inamuajibikia%20Kufanya%20Da%E2%80%99wah%3F