Vipi Kuzifunga Swiyaam Za Sitta Shawwaal?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
"Muumini huchagua atakavo kuzifunga katika mwezi wote; akitaka afunge mwanzo wake, au katikati yake au mwishoni mwake, na akitaka afunge kwa kutofululiza, na akitaka afululize."
[Al-Fataawaa (15/390)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8622&title=08-Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Vipi%20Kuzifunga%20Swiyaam%20Za%20Sitta%20Shawwaal%3F