Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: Kulipa Swawm Na Sitta Shawwaal > 09-Imaam Ibn Baaz Na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Lipi Lililo Bora Katika Kufunga Sitta Shawwaal?

09-Imaam Ibn Baaz Na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Lipi Lililo Bora Katika Kufunga Sitta Shawwaal?

Lipi Lililo Bora Katika Kufunga Sitta Shawwaal?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) Na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Akifanya hima kuzifunga mwanzoni mwa mwezi basi ni bora zaidi."

 

 

[Al-Fataawaa (15/390)]

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Lililo bora kufanywa kuhusu Swiyaam za Sitta Shawwaal ni kuzifunga siku sita baada ya ‘Iyd na ziwe za kufufuliza."

 

 

[Al-Fataawaa (20/20)]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8623

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8623&title=09-Imaam%20Ibn%20Baaz%20Na%20Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Lipi%20Lililo%20Bora%20Katika%20Kufunga%20Sitta%20Shawwaal%3F