Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Hiswnul-Muslim: Du’aa Na Adhkaar Kusoma Na Kwa Kusikiliza (Toleo Lilohaririwa) > 114-Hiswnul-Muslim: Anayopaswa Kusema Muislamu Akisifiwa

114-Hiswnul-Muslim: Anayopaswa Kusema Muislamu Akisifiwa

Hiswnul-Muslim

114-Anayopaswa Kusema  Muislamu Akisifiwa

www.alhidaaya.com [1]

 

 

Bonyeza Hapa Usikilize [2]

 

 

[232]

اللَّهُمَّ لَا تُؤاَخِذْنِي ِبَما يَقُولُونُ، وَاغْفِرْ لِي مَالا يَعْلَمُونَ وَاجْعَلْنِي خَيْراً مِمَّا َيظُنُّونَ

 

Allaahumma laa Tuaakhidhniy bimaa yaquwluwn, waghfirliy maa laa ya’-lamuwn, waj-’alniy khayrn mimma yadhwunnuwn

 

Ee Allaah, Usinichukulie kwa yale wanayoyasema na Nighufurie kwa yale wasiyoyajua,  na Nijaalie bora kuliko wanavyonidhania[1]

 

 

 

[1]Kauli ya Swahaaba - Al-Bukhaariy katika Al-Adab Al-Mufrad (761), na ameisahihisha Isnaad yake Al-Albaaniy (رحمه الله) katika Swahiyh Al-Adab Al-Mufrad [585]. Na yaliyo katika mabano ni ziada ya Al-Bayhaqiy katika Shu’b Al-Iymaan (4/228) kutoka njia nyingine.

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9847

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] http://www.alhidaaya.com/swahili/duaa_adhkaar/index.php?file=./Hiswnul%20Muslim%20Kwa%20Sauti/114-Anachosema%20Muislamu%20Akisifiwa.mp3
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9847&title=114-Hiswnul-Muslim%3A%20Anayopaswa%20Kusema%20%20Muislamu%20Akisifiwa