Hiswnul-Muslim
073-Du’aa Ya Kumuombea Uliye Futuru Kwake
[184]
أَفْطَـرَ عِنْدَكُم الصّـائِمونَ وَأَكَلَ طَعامَـكُمُ الأبْـرار، وَصَلَّـتْ عَلَـيْكُمُ الملائِكَـة
Aftwara ‘indakumu asw-swaaimuwna wa akala twa’aamakum al-abraar, wa Swallat ‘alaykumul Malaaikah
Wafuturu kwenu waliofunga (Swawm) na wale chakula chenu watu wema, na wawaombee Rehma Malaika[1]
[1]Hadiyth ya Anas bin Maalik (رضي الله عنه) - Sunan Abi Daawuwd (3/367) [3854], Ibn Maajah (1/556) [1747], An-Nasaaiy katika kitabu chake; ‘Amal Al-Yawm wal-Laylah (296-298), na ameisahihisha Al-Albaaniy (رحمه الله) katika Swahiyh Abi Daawuwd (2/730). Imetaja katika riwaayah: “Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وسلم) alikuwa akisema hivyo anapofuturu kwa watu wa nyumbani kwake”.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] http://www.alhidaaya.com/swahili/duaa_adhkaar/index.php?file=./Hiswnul%20Muslim%20Kwa%20Sauti/073-Duaa%20Ya%20Kumuombea%20Uliye%20Futuru%20Kwake.mp3
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9806&title=073-Hiswnul-Muslim%3A%20Du%E2%80%99aa%20Ya%20Kumuombea%20Uliye%20Futuru%20Kwake