Hiswnul-Muslim
099-Du’aa Ya Wakati Mnyama Uliempanda Akileta Tabu
[210]
بِسْـمِ اللهِ
BismiLLaah
Kwa jina la Allaah[1]
[1]Hadiyth ya Usamah bin ‘Umayr (رضي الله عنه)
كُنْتُ رديف النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم ، فَعَثَرَت دابته، فَقُلْتُ: تَعِسَ الشَّيْطَانُ، فَقَالَ: ((لاَ تَقُلْ تَعِسَ الشَّيْطَانُ، فَإِنَّكَ إذا قُلْتَ ذلك تعاظم حَتَّى يكون مِثل الْبَيْتِ، وَيَقُولُ: بِقُوَّتِي، وَلَكِنْ قُلْ: بِاسْمِ اللهِ، فَإِنَّكَ إذا قُلْتَ ذلك تصاغر يكون مِثْلَ الذُّبَاب)).
((Nilipanda mnyama nyuma ya Nabiy (صلى الله عليه وسلم) mnyama wake akajikwaa nikasema: “Aangamie shaytwaan”. Akasema: ((Usiseme hivyo kwani ukisema hivyo atavimba mpaka atakuwa kama nyumba, na kisha atasema: “Kwa nguvu zangu”. Bali sema: BismiLLaah, kwani ukisema hivyo atanyweya mpaka atakuwa kama nzi)) - Abu Daawuwd (4/296) [4982] na ameisahihisha Al-Albaaniy (رحمه الله) katika Swahiyh Abi Daawuwd (3/941)
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] http://www.alhidaaya.com/swahili/duaa_adhkaar/index.php?file=./Hiswnul%20Muslim%20Kwa%20Sauti/099-Duaa%20Ya%20Wakati%20Mnyama%20Uliempanda%20Akileta%20Tabu.mp3
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9832&title=099-Hiswnul-Muslim%3A%20Du%E2%80%99aa%20Ya%20Wakati%20Mnyama%20Uliempanda%20Akileta%20Tabu