Hiswnul-Muslim
114-Anayopaswa Kusema Muislamu Akisifiwa
[232]
اللَّهُمَّ لَا تُؤاَخِذْنِي ِبَما يَقُولُونُ، وَاغْفِرْ لِي مَالا يَعْلَمُونَ وَاجْعَلْنِي خَيْراً مِمَّا َيظُنُّونَ
Allaahumma laa Tuaakhidhniy bimaa yaquwluwn, waghfirliy maa laa ya’-lamuwn, waj-’alniy khayrn mimma yadhwunnuwn
Ee Allaah, Usinichukulie kwa yale wanayoyasema na Nighufurie kwa yale wasiyoyajua, na Nijaalie bora kuliko wanavyonidhania[1]
[1]Kauli ya Swahaaba - Al-Bukhaariy katika Al-Adab Al-Mufrad (761), na ameisahihisha Isnaad yake Al-Albaaniy (رحمه الله) katika Swahiyh Al-Adab Al-Mufrad [585]. Na yaliyo katika mabano ni ziada ya Al-Bayhaqiy katika Shu’b Al-Iymaan (4/228) kutoka njia nyingine.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] http://www.alhidaaya.com/swahili/duaa_adhkaar/index.php?file=./Hiswnul%20Muslim%20Kwa%20Sauti/114-Anachosema%20Muislamu%20Akisifiwa.mp3
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9847&title=114-Hiswnul-Muslim%3A%20Anayopaswa%20Kusema%20%20Muislamu%20Akisifiwa