Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Hukmu Ya Kutupa Jalalani Chakula Kilichobakia

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Hukmu Ya Kutupa Jalalani Chakula Kilichobakia

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

 

 

Hukmu Ya Kutupa Jalalani Chakula Kilichobakia

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya wanafuzi kutupa jalalani chakula au kinywaji kilichobakia?

 

 

JIBU:

 

Chakula ambacho hakiwezi kuliwa, kama maganda ya machungwa, ya tufaha na mabaki yake, au ndizi na mengineyo kama hayo, hakuna ubaya (kuyatupa) kwa sababu hayo hayana uharamu kwa vile yalivyo.

 

Ama chakula ambacho cha kuliwa kama mkate, mchuzi, na kama hivi basi havifai kutupwa katika pipa la taka, na ikibidi (kutupwa) basi vitiwe katika mfuko ili mchukuaji taka ajue kuwa hicho ni kitu chenye kuheshimiwa.

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn

[Fataawaa Nuwr ‘Alaa Ad-Darb (6/205)]

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7351

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7351&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Hukmu%20Ya%20Kutupa%20Jalalani%20Chakula%20Kilichobakia