Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب نهي من دخل عَلَيْهِ عشر ذي الحجة
وأراد أنْ يضحي عن أخذ شيء من شعره أَوْ أظفاره حَتَّى يضحّي
060-Mlango Wa Kukatazwa kwa Anayetaka Kuchinja Kukata Nywele au Kucha Zake Mpaka Achinje Pindi Linapoingia Kumi la Kwanza la Dhul Hijjah
Alhidaaya.com [1]
عن أُمِّ سَلَمَةَ رَضِيَ اللهُ عنها ، قالت : قَالَ رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم : (( مَنْ كَانَ لَهُ ذِبْحٌ يَذْبَحُهُ ، فَإذَا أَهَلَّ هِلاَلُ ذِي الحِجَّةِ ، فَلاَ يَأخُذَنَّ من شَعْرِهِ وَلاَ مِنْ أظْفَارِهِ شَيْئاً حَتَّى يُضَحِّيَ )) . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Umm Salamah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Mwenye kuwa na mnyama anayetaka kumchinja (siku ya Iydul Adhha), basi ajizuwie kukata nywele na kucha zake pindi unapoandama mwezi wa Dhul Hijjah mpaka achinje." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11380&title=060-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kukatazwa%20kwa%20Anayetaka%20Kuchinja%20Kukata%20Nywele%20au%20Kucha%20Zake%20Mpaka%20Achinje%20Pindi%20Linapoingia%20Kumi%20la%20Kwanza%20la%20Dhul%20Hijjah