Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > 17-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Kitabu Cha Mambo Yaliyokatazwa - كِتابُ الأمور الْمُنهى عَنْها > 077-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Ukaraha wa Kuziita Zabibu kwa Jina Karm

077-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Ukaraha wa Kuziita Zabibu kwa Jina Karm

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب كراهة تسمية العنب كرماً 

077-Mlango Wa Ukaraha wa Kuziita Zabibu kwa Jina Karm

 

Alhidaaya.com [1]

 

Hadiyth – 1

 

عن أبي هريرة رضي الله عنه ، قال : قال رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم : (( لاَ تُسَمُّوا العِنَبَ الكَرْمَ ، فَإنَّ الكَرْمَ المُسْلِمُ )) متفق عليه ، وهذا لفظ مسلم .

وفي رواية : (( فَإنَّمَا الكَرْمُ قَلْبُ المُؤمِنِ )) . وفي رواية للبخاري ومسلم :
(( يَقُولُونَ الكَرْمُ ، إنَّمَا الكَرْمُ قَلْبُ المُؤْمِنِ )) .

Imepoewa kutoka kwake Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Msiite zabibu Karm, hakika Al-Karm ni Muislamu." [Al-Bukhaariy na Muslim, na hii ni lafdhi ya Muslim].

Na katika riwaayah nyengine: "Kwa hakika si kitu kingine bali Al-Karm ni moyo wa Muumini." 

Na katika riwaayah ya Al-Bukhaariy na Muslim: "Watu husema: 'Al-Karm (ukarimu).' Hakika si kitu kingine bali Al-Karm ni moyo wa Muumini."

 

Hadiyth – 2

وعن وائلِ بنِ حُجرٍ رضي الله عنه ، عن النَّبيِّ صلى الله عليه وسلم ، قال : (( لاَ تَقُولُوا : الكَرْمُ ، وَلكِنْ قُولُوا : العِنَبُ ، والحَبَلَةُ ))  . رواه مسلم .

Imepokewa kutoka kwa Waail bin Hujr (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Musiseme: 'Al-Karam', lakini semeni: 'Al-'inab (zabibu) na Al-Habalah (zabibu)'." [Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/11397

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11397&title=077-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Ukaraha%20wa%20Kuziita%20Zabibu%20kwa%20Jina%20Karm