Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > 17-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Kitabu Cha Mambo Yaliyokatazwa - كِتابُ الأمور الْمُنهى عَنْها > 094-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Uharamu wa Kukaa Juu ya Kaburi

094-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Uharamu wa Kukaa Juu ya Kaburi

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب تحريم الجلوس عَلَى قبر

094-Mlango Wa Uharamu wa Kukaa Juu ya Kaburi

 

Alhidaaya.com [1]

 

عن أَبي هريرة رضي الله عنه قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( لأنْ يَجْلِسَ أحَدُكُمْ عَلَى جَمْرَةٍ ، فَتُحْرِقَ ثِيَابَهُ فَتَخْلُصَ إِلَى جِلْدِهِ خَيْرٌ لَهُ مِنْ أنْ يَجْلِسَ عَلَى قَبْرٍ )) . رواه مسلم .

Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Laiti mmoja wenu angalikalia kaa la moto ikaunguza nguo zake na ukapenya hadi kwenye ngozi yake ni bora zaidi kuliko kukaa juu ya kaburi." [Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/11414

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11414&title=094-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Uharamu%20wa%20Kukaa%20Juu%20ya%20Kaburi