SWALI:
Asalam aleikum natumai hapo mulipo nyote hamuna neno.mimi nina swali huwanasikiya dhiki
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Tunasikitika kufikwa na hali hiyo, na yakufanya ili kuepukana na hali hiyo ni yafuatayo:
Hiswnul Muslim [2]
Zifuatazo Du’aa hasa :
28 Nyiradi Za Asubuhi Na Jioni [3]
35 Dua'a Ukiwa Na Hamu Na Huzuni [4]
Sikiliza mawaidha ya Ruqya:
Ruqya [5]
Tafadhali bonyeza pia kiungo kifuaacho upate manuafa zaidi:
Nina Dhiki Na Nina Woga Sana Nifanyeje? [6]
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/67
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/1125
[3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/1154
[4] http://www.alhidaaya.com/sw/node/1161
[5] http://www.alhidaaya.com/swahili/mawaidha/andromeda.php?q=f&f=%2FNAASWIR+KHAMIYS%2FRuqya
[6] http://www.alhidaaya.com/sw/node/3006
[7] https://www.addtoany.com/share#url=http%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4826&title=Ikifika%20Wakati%20Wa%20Magharibi%20Anaona%20Dhiki%20%E2%80%93%20Asome%20Du%E2%80%99aa%20Gani%20Kuondosha%20Dhiki%3F