Imaam Ibn Baaz: Mwanamke Kufanya Sajdah At-Tilaawah Bila Ya Kujifunika Kichwa Inajuzu?

Mwanamke Kufanya Sajdah At-Tilaawah Bila Ya Kujifunika Kichwa Inajuzu?

 

 Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

Je inajuzu kwa mwanamke kufanya Sajdatut-Tilaawah (Sijda Ya Kusoma Qur-aan) bila ya kujifunika kichwa?

 

 

JIBU:

 

 

“Akisujudu akiwa hajajifunika hakuna neno ni sawa, bali akijisitiri kama vile yupo kwenye Swalaah na akasujudu akiwa ni mwenye twahara ni bora zaidi.”

 

 

[Fataawa Nuwr ‘ala Ad-Darb (11352)]

 

 

 

Share