Imaam Ibn Baaz: Ulimwengu Upo Katika Ugeni Kutokana Na Uchache Wa Elimu Na Ahlul-'Ilm

Ulimwengu Upo Katika Ugeni Kutokana Na Uchache Wa Elimu Na Ahlul-'Ilm

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Aghlabu ya miji leo hii, na aghlabu ya dunia leo hii, umo katika ugeni mkali kutokana na uchache wa elimu na Ahlul-‘Ilm (wenye elimu).

 

 

[Sharh Riyaadhw Asw-Swaalihiyn (38)]

 

 

Share