Skip to main content

Abuu Bakr Al-Balkhiy: Rajab Kupandikiza Mbegu Sha'baan Kutilia Maji Ramadhwaan Kuchuma Matunda

Rajab Ni Mwezi Wa Kupandikiza Mbegu, Na  Sha'baan Ni Kutilia Maji

Na Ramadhwaan Ni Wa Kuchuma Matunda

Abuu Bakr Al-Warraaq Al-Balkhiy (Rahimahu-Allaah)

Alhidaaya.com

Amesema Abuu Bakr Al-Warraaq Al-Balkhiy (Rahimahu-Allaah) kwamba:

"Mwezi wa Rajab ni wa kupandikiza mbegu, mwezi wa Sha’baan ni wa kutilia maji mbegu na mwezi wa Ramadhwaan ni mwezi wa kuchuma matunda."

[Latwaaif Al-Maaarif Fiymaa lil Mawaasim Al-‘Aam min Al-Wadhwaaifi]