Skip to main content

Imaam Ahmad: Misingi Ya Sunnah Ni Kushikamana Na Sunnah Na Kuacha Bid’ah

Kauli Za Salaf: Manhaj

Misingi Ya Sunnah Ni Kushikamana Na Sunnah Na Kuacha Bid’ah

Imaam Ahmad (Rahimahu-Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Ahmad (Rahimahu-Allaah) amesema:

“Misingi ya Sunnah kwetu sisi ni kushikamana na yale waliyokuwa nayo Maswahaba wa Mtume, kuwafuata na kuacha bid'ah kwani kila bid'ah ni upotevu.”

[Ibn Ya’la al-Fara’, Twabaqaatul Hanaabilah, Mj. 1, uk.241]