Skip to main content

Imaam Al-Awzaa’iy: Kwa Nani Mnaichukua Dini Na Yupi Mnamfanya Ni Mfano Wa Kuigwa

Kauli Za Salaf: Manhaj

Kwa Nani Mnaichukua Dini Na Yupi Mnamfanya Ni Mfano Wa Kuigwa

Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu Allaah) amesema:

“Mcheni Allaah enyi Waislamu, na kubalini nasaha za wenye kunasihi, na waadhi wa wenye kuwaidhi, na mjue kwamba hii elimu ni Dini, basi tazameni ni kutoka kwa nani mnaichukua Dini yenu, na kwa yupi mnayemfanya ni mfano wa kuigwa.”

[Taariykh Dimishq Libni ‘Asaakir, mj. 6, uk. 361]