Skip to main content

Imaam Ibn Taymiyyah: Qur-aan Katika Kuzingatiwa Maana Yake Ni Theluthi Tatu

Qur-aan Katika Kuzingatiwa Maana Yake Ni Theluthi Tatu 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)

Alhidaaya.com

Amesema Sheikhul-Islaam (Rahimahu-Allaah):

Qur-aan katika kuzingatiwa maana yake ni theluthi tatu:

1-Theluthi ya Tawhiyd

2-Theluthi ya Visa (vya Manabii na Ummah zilopita)

3-Theluthi ya maamrisho na makatazo.

[Iqtidhwaa Swiraatw Al-Mustaqiym 570]