Skip to main content

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Usiwe Na Kasumba Na Mlinganiaji

Kauli Za Salaf: Manhaj

Usiwe Na Kasumba Na Mlinganiaji

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

“Usiwe na kasumba na mlinganiaji au mtengenezaji ikiwa amepinda katika haki. Kwa sababu haki si kwa (kutazamwa) wingi wa watu, bali haki ni kwa kuwafikiana na Kitabu (Qur-aan) na Sunnah.”

[Ash-Sharhu Al-Mumti’, mj. 4, uk.379]