Skip to main content

Imaam An-Nawawiy: Vitabu Viwili Swahiyh Na Wajibu Wa Kufanyia Kazi Hadiyth Zake

Vitabu Viwili Swahiyh Na Wajibu Wa Kufanyia Kazi Hadiyth Zake

Imaam An-Nawawiy (Rahimahu Allaah)

Alhidaaya.com

Amesema Imaam An-Nawawiy (Rahimahu Allaah):

Ummah umekubaliana juu ya usahihi wa vitabu hivi viwili (Swahiyh Al-Bukhariy na Swahiyh Muslim) na uwajibu wa kufanyia kazi Hadiyth zake.

[Tahdhiyb Al-Asmaa Wal-Lughaat (1/73)]