Skip to main content

Imaam Wuhayb Ibn Al-Ward: Kilichoshadidi Zaidi Kulainisha Nyoyo Na Kuondosha Huzuni Ni Kusoma Qur-aan Kwa Kuzingatia

Kilichoshadidi Zaidi Kulainisha Nyoyo Na Kuondosha Huzuni Ni Kusoma Qur-aan Kwa Kuzingatia

Imaam Wuhayb Ibn Al-Ward (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Amesema Imaam Wuhayb Ibn Al-Ward (Rahimahu Allaah):

“Tumetazama hizi Ahaadiyth na Mawaidha lakini hatukuona kilicho shadidi zaidi katika kinacholainisha nyoyo au kuondosha huzuni kama kusoma Qur-aan kwa anayezingatia.”

 [Hilyat Al-Awliyaa (8/143)]