Imaam Ibn Al-Qayyim: Kukanusha Haki Kunafisidi Nyoyo Na Akili

 

Kukanusha Haki Kunafisidi Nyoyo Na Akili

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

 

Atakayedhihirishiwa haki kisha akaikanusha, atalipizwa kwa kufisidika moyo wake, akili yake na rai zake.

[Miftaah Daar As-Sa’aadah: 1/61]

Share